Aral (ziwa) : Tofauti kati ya masahihisho
d All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|lmo}} (3) using AWB (10903) |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:AralShip.jpg|thumb|300px|Meli ya ziwani inayokaa jangwani mahali pa bandari zamani]] |
[[Picha:AralShip.jpg|thumb|300px|Meli ya ziwani inayokaa jangwani mahali pa bandari zamani]] |
||
'''Ziwa Aral''' ([[Kikazakhi]]: ''Арал Теңізі'' ''(aral tengizi)'', [[Kiuzbeki]] ''Orol dengizi'', [[Kirusi]] ''Аральскοе мοре'' ''aralskoye more'') ni [[ziwa]] la [[Asia ya Kati]] mpakani mwa [[Kazakhstan]] na [[Uzbekistan]]. |
|||
Hadi [[mwaka]] [[1960]] lilikuwa na eneo la [[maji]] la [[km²]] 68,000, lakini limepungua hadi kubaki na km² 17,160 pekee mwaka 2004. Tangu [[1987]] kupungua kwa maji kulisababisha ugawaji wa ziwa katika sehemu [[mbili]] upande wa [[kaskazini]] na upande wa [[kusini]] ambazo haziunganiki tena. |
|||
Mito mikubwa inayoingia na kubeba maji yake ni [[Amu Darya]] na [[Syr Darya]] na mito hii ilitumiwa katika mipango ya [[Umoja wa Kisovyeti]] kwa umwagiliaji wa mashamba makubwa ya pamba na mazao mengine. Miradi |
[[Mito]] mikubwa inayoingia na kubeba maji yake ni [[Amu Darya]] na [[Syr Darya]] na mito hii ilitumiwa katika mipango ya [[Umoja wa Kisovyeti]] kwa [[umwagiliaji]] wa [[Shamba|mashamba]] makubwa ya [[pamba]] na [[mazao]] mengine. Miradi hiyo iliyoanzishwa katika [[mazingira]] [[yabisi]] iliendelea kwa miaka 30 hivi hadi kushindikana; maji yamepotea kwa wingi mashambani na katika mifereji kutokana na [[usimbishaji]] na kusababisha kupungua kwa mazao. Kiasi cha [[chumvi]] ardhini kiliongezeka sana jinsi ilivyo mara nyingi katika miradi ya umwagiliaji ya nchi za [[joto]] na kumaliza [[rutuba]] ya [[udongo]]. |
||
Ziwa halikupokea tena kiasi chake cha maji likapungua. Sehemu kubwa za eneo la ziwa la awali zimekuwa jangwa. Maji yaliyobaki yameharibika kutokana na |
Ziwa halikupokea tena kiasi chake cha maji, hivyo likapungua. Sehemu kubwa za eneo la ziwa la awali zimekuwa [[jangwa]]. Maji yaliyobaki yameharibika kutokana na [[majitaka]] ya [[viwanda]] na [[mbolea]] nyingi iliyosukumwa kutoka mashamba mitoni halafu ziwani. |
||
Kuna mradi wa kuokoa angalau sehemu ndogo ya kaskazini. Ukuta ulijengwa kwa shabaha ya kuzuia upotevu wa maji katika jangwa la msingi wa ziwa la kale. Uwiano wa maji yamepanda tena katika sehemu hii ndogo. |
Kuna mradi wa kuokoa angalau sehemu ndogo ya kaskazini. Ukuta ulijengwa kwa shabaha ya kuzuia upotevu wa maji katika jangwa la msingi wa ziwa la kale. Uwiano wa maji yamepanda tena katika sehemu hii ndogo. |
||
Mstari 22: | Mstari 23: | ||
[[Jamii:Maziwa ya Kazakhstan]] |
[[Jamii:Maziwa ya Kazakhstan]] |
||
[[Jamii:Asia ya Kati]] |
[[Jamii:Asia ya Kati]] |
||
[[Jamii:Maziwa ya chumvi]] |
Pitio la 08:16, 12 Agosti 2018
Ziwa Aral (Kikazakhi: Арал Теңізі (aral tengizi), Kiuzbeki Orol dengizi, Kirusi Аральскοе мοре aralskoye more) ni ziwa la Asia ya Kati mpakani mwa Kazakhstan na Uzbekistan.
Hadi mwaka 1960 lilikuwa na eneo la maji la km² 68,000, lakini limepungua hadi kubaki na km² 17,160 pekee mwaka 2004. Tangu 1987 kupungua kwa maji kulisababisha ugawaji wa ziwa katika sehemu mbili upande wa kaskazini na upande wa kusini ambazo haziunganiki tena.
Mito mikubwa inayoingia na kubeba maji yake ni Amu Darya na Syr Darya na mito hii ilitumiwa katika mipango ya Umoja wa Kisovyeti kwa umwagiliaji wa mashamba makubwa ya pamba na mazao mengine. Miradi hiyo iliyoanzishwa katika mazingira yabisi iliendelea kwa miaka 30 hivi hadi kushindikana; maji yamepotea kwa wingi mashambani na katika mifereji kutokana na usimbishaji na kusababisha kupungua kwa mazao. Kiasi cha chumvi ardhini kiliongezeka sana jinsi ilivyo mara nyingi katika miradi ya umwagiliaji ya nchi za joto na kumaliza rutuba ya udongo.
Ziwa halikupokea tena kiasi chake cha maji, hivyo likapungua. Sehemu kubwa za eneo la ziwa la awali zimekuwa jangwa. Maji yaliyobaki yameharibika kutokana na majitaka ya viwanda na mbolea nyingi iliyosukumwa kutoka mashamba mitoni halafu ziwani.
Kuna mradi wa kuokoa angalau sehemu ndogo ya kaskazini. Ukuta ulijengwa kwa shabaha ya kuzuia upotevu wa maji katika jangwa la msingi wa ziwa la kale. Uwiano wa maji yamepanda tena katika sehemu hii ndogo.
-
Ziwa Aral mnamo 1850
-
Ramani ya Ziwa Aral mnamo 1960
-
Ziwa Aral 1985.
-
Kisiwa ndani ya ziwani liliunganishwa na bara kutokana na upotevu wa maji manmo 2000/2001
-
Sehemu ya Kaskazini imeanza kupanua kidogo
-
Picha ya Ziwa Aral inaonyesha eneo lake jinsi ilivyoonekana mwaka 2004 pamoja na mipaka ya ziwa mnamo 1960 (mstari mweusi)
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Aral (ziwa) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |