Kaizari Joseph II : Tofauti kati ya masahihisho
Kaisari --> Kaizari |
d Kaisari Joseph II umehamishwa hapa Kaizari Joseph II: Maandishi rasmi kulingana na kamusi ya TUKI |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 19:12, 6 Januari 2008
Joseph II (13 Machi, 1741 – 20 Februari, 1790) alikuwa Kaizari wa Dola la Ujerumani kuanzia 1765 hadi kifo chake. Alimfuata baba yake, Francis I, na kufuatiwa na Leopold II.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |