Kaizari Joseph II : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaisari --> Kaizari
d Kaisari Joseph II umehamishwa hapa Kaizari Joseph II: Maandishi rasmi kulingana na kamusi ya TUKI
(Hakuna tofauti)

Pitio la 19:12, 6 Januari 2008

Joseph II (13 Machi, 174120 Februari, 1790) alikuwa Kaizari wa Dola la Ujerumani kuanzia 1765 hadi kifo chake. Alimfuata baba yake, Francis I, na kufuatiwa na Leopold II.