Baraza la mawaziri Tanzania 2015 : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 66: | Mstari 66: | ||
| [[ Waziri wa Mifugo na Uvuvi Tanzania| Wizara ya Mifugo na Uvuvi]] |
| [[ Waziri wa Mifugo na Uvuvi Tanzania| Wizara ya Mifugo na Uvuvi]] |
||
| style="background:#228B22" | |
| style="background:#228B22" | |
||
| [[Luhaga Mpina]] |
| [[Luhaga Joseph Mpina]] |
||
|- |
|- |
||
| [[File:No image.svg|75px]] |
| [[File:No image.svg|75px]] |
||
Mstari 76: | Mstari 76: | ||
| [[Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Tanzania|Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa]] |
| [[Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Tanzania|Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa]] |
||
| style="background:#228B22" | |
| style="background:#228B22" | |
||
| [[Hussein Mwinyi]] |
| [[Hussein Ali Mwinyi]] |
||
|- |
|- |
||
| [[File:No image.svg|75px]] |
| [[File:No image.svg|75px]] |
||
Mstari 101: | Mstari 101: | ||
| [[Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Tanzania|Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto]] |
| [[Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Tanzania|Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto]] |
||
| style="background:#228B22" | |
| style="background:#228B22" | |
||
| [[Ummy Mwalimu]] |
| [[Ummy Ally Mwalimu]] |
||
|- |
|- |
||
| [[File:No image.svg|75px]] |
| [[File:No image.svg|75px]] |
||
| [[Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania|Wizara ya Mambo ya Ndani]] |
| [[Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania|Wizara ya Mambo ya Ndani]] |
||
| style="background:#228B22" | |
| style="background:#228B22" | |
||
| [[Mwigulu Nchemba]] |
| [[Mwigulu Lameck Nchemba]] |
||
|- |
|- |
||
| [[File:Charles Mwijage.jpg|75px]] |
| [[File:Charles Mwijage.jpg|75px]] |
Pitio la 14:08, 11 Juni 2018
Baraza la Mawaziri la Tanzania ni ngazi ya juu ya serikali au mkono wa utendaji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mfumo wa mgawanyo wa madaraka.
Baraza hili linaundwa na rais, makamu wa rais, rais wa Zanzibar, waziri mkuu na mawaziri wote. [1] Manaibu mawaziri si sehemu ya baraza. Mwanasheria Mkuu anashiriki katika mikutano ya baraza bila haki ya kupiga kura.
Mikutano ya baraza inaongozwa na Rais kama mwenyekiti, kama hayupo na Makamu wa Rais, na kama wote wawili hawapo na Waziri Mkuu.[2]
Serikali iliyopo ilitangazwa na John Magufuli, rais wa tano wa Tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 mnamo tarehe 10 Desemba 2015. Isipokuwa nafasi 4 zilichelewa kutajwa majina hadi tarehe 23 Desemba, na hapo waliingia Jumanne Maghembe, Philip Mpango, Gerson Lwenge na Joyce Ndalichako. Siku hiyohiyo Makame Mbarawa alihamishwa kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji na kwenda Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Chama anachotoka | Chama Cha Mapinduzi |
---|
Marejeo
- ↑ Cabinet of Tanzania. tanzania.go.tz (May 2012). Iliwekwa mnamo May 2012.
- ↑ Katiba ya Tanzania, fungu 54
- ↑ Baraza la Mawaziri. Ikulu (10 December 2015).
- ↑ "Magufuli releases long awaited cabinet", 10 December 2015.
- ↑ Chama Cha Mapinduzi [@ccm_tanzania] (10 December 2015). Rais Magufuli atangaza Baraza la Mawaziri (Swahili).
Tazama pia
Wizara za Serikali ya Tanzania Orodha_ya_Mawaziri_Wakuu_wa_Tanzania