Kisuke : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
⚫ | '''Kisuke''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Ushetu]] katika [[Mkoa wa Shinyanga]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 10,467 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Shinyanga Region - Kahama District Council]</ref> |
||
'''Kisuke''' ni kata ya [[Wilaya ya Kahama Vijijini]] |
|||
Ambayo inapatikana katika halmashauri ya wilaya ya Ushetu katika [[Mkoa wa Shinyanga]], [[Tanzania]]. |
|||
Kata ya Kisuke inajumla ya vijiji Vinne, ♥ Kijiji Cha Kisuke (Makao Makuu Ya Kata) ♥Kijiji Cha Itumbo, ♥ Kijiji Cha Kalaba na ♥Kijiji Cha Ipilinga. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 10,467 waishio humo. Kabla Ya mwaka 2015 Kata ya Kisuke ilikuwa inajumuisha vijiji zaidi ya 12 ambavyo ni *Kisuke *Kalaba *Nyamilangano *Bukomela *Nussa *Ngokolo *Mitonga *Mapamba *Kawekunelela *Itumbo *Kalaba na Ipilinga. |
|||
Kata hii ilikuwa ikiongozwa na Diwani Juma Kimisha kwa miaka Kumi mfululizo tangu mwaka 2005 na baadae kata hii kubwa iligawanya na kutengeneza Kata nneyaani ♥Kisuke ♥ Nyamilangano ♥Bukomela na ♥Mapamba |
|||
⚫ | |||
SHUGHULI ZA KILIMO |
|||
wakazi wa kata hii ya Kisuke wanajishughulisha sana na kilimo na ufugaji |
|||
⚫ | |||
ELIMU |
|||
⚫ | |||
HUDUMA ZA AFYA |
|||
⚫ | |||
BIASHARA |
|||
⚫ | |||
[[DINI]] |
|||
⚫ | |||
ENEO LA KIHISTORIA |
|||
⚫ | |||
Hadi mwaka [[2015]] kata ya Kisuke ilikuwa inajumuisha [[vijiji]] zaidi ya 12 ambavyo ni: Kisuke, Kalaba, Nyamilangano, Bukomela, Nussa, Ngokolo, Mitonga, Mapamba, Kawekunelela, Itumbo, Kalaba na Ipilinga. Kata hii ilikuwa ikiongozwa na [[diwani]] Juma Kimisha kwa miaka kumi mfululizo tangu mwaka [[2005]]. Baada ya hapo kata hiyo kubwa iligawanya na kutengeneza kata [[nne]] yaani: Kisuke, [[Nyamilangano]], [[Bukomela]] na [[Mapamba]]. |
|||
⚫ | |||
⚫ | |||
==Elimu== |
|||
⚫ | |||
==Huduma za afya== |
|||
⚫ | |||
==Uchumi== |
|||
⚫ | |||
==Biashara== |
|||
⚫ | |||
==Dini== |
|||
⚫ | |||
=Eneo la kihistoria== |
|||
⚫ | |||
==Marejeo== |
==Marejeo== |
||
{{marejeo}} |
{{marejeo}} |
||
{{Kata za Wilaya ya Kahama Vijijini}} |
{{Kata za Wilaya ya Kahama Vijijini}} |
||
{{mbegu-jio-shinyanga}} |
{{mbegu-jio-shinyanga}} |
||
Pitio la 10:01, 2 Juni 2018
Kisuke ni kata ya Wilaya ya Ushetu katika Mkoa wa Shinyanga, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 10,467 waishio humo.[1]
Hadi mwaka 2015 kata ya Kisuke ilikuwa inajumuisha vijiji zaidi ya 12 ambavyo ni: Kisuke, Kalaba, Nyamilangano, Bukomela, Nussa, Ngokolo, Mitonga, Mapamba, Kawekunelela, Itumbo, Kalaba na Ipilinga. Kata hii ilikuwa ikiongozwa na diwani Juma Kimisha kwa miaka kumi mfululizo tangu mwaka 2005. Baada ya hapo kata hiyo kubwa iligawanya na kutengeneza kata nne yaani: Kisuke, Nyamilangano, Bukomela na Mapamba.
Kata ya Kisuke imebaki na vijiji vinne tu: Kisuke (makao makuu ya kata), Itumbo, Kalaba na Ipilinga. Kwa sasa kata inaongozwa na diwani Paul Golani (CCM) aliyeshinda uchaguzi wa mwaka 2015 kwa kumbwaga mgombea wa UKAWA Joseph Charkes Mtumwa kwa zaidi ya kura 300.
Elimu
Kata ya Kisuke ina Shule za msingi mbili: Shule Ya Msingi Kisuke na Shule Ya Msingi Itumbo. Pia kuna mradi wa kujenga shule nyingine mbili katika vijiji vya Ipilinga na Kalaba.
Huduma za afya
Kata ina kituo cha afya kilichopo katika senta ya Kisuke kilichojengwa mwanzoni mwa miaka ya 1990.
Uchumi
Wakazi wa kata ya Kisuke wanajishughulisha sana na kilimo na ufugaji. Kati ya wazee mashuhuri wa kijiji hiki na kata hii kuna Nyahinga Katumbati, mfugaji wa nyuki mkubwa, John Lutonja n.k.
Biashara
Kata ina magulio mawili: gulio la Kisuke lililopo katika mtaa wa Mji Mwema kijiji cha Kisuke, na gulio la Itumbo lililopo katika mtaa wa Senta katika kijiji cha Itumbo.
Dini
Wakazi wengi wa kata hii ni Wakristo na Waislamu, huku idadi ndogo ya watu wakiwa ni wasiofungamana na dini yoyote.
Eneo la kihistoria=
Kata ya Kisuke ilishawahi kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius K. Nyerere, mnamo mwaka 1973 alipofanya uzinduzi wa Ofisi ya CCM kata ya Kisuke ambayo mpaka leo ipo na inaendelea kutumika.
Marejeo
Kigezo:Kata za Wilaya ya Kahama Vijijini
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Shinyanga bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kisuke kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |