Monte Rosa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+picha |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Monte_Rosa_east_face.jpg|right|thumb|Mlima wa Monte Rosa]] |
[[Picha:Monte_Rosa_east_face.jpg|right|thumb|Mlima wa Monte Rosa, upande wa Mashariki]] |
||
''' |
'''Monte Rosa''' ni safu ya [[milima]] ya [[Alpi]] kati ya nchi za [[Italia]] na [[Uswisi]] ([[Ulaya]]). |
||
[[Urefu]] |
[[Urefu]] wa kilele chake kirefu kabisa huitwa [[Dufourspitze]] na ni [[mita]] 4,634 juu ya [[usawa wa bahari]], hivyo ni wa pili kati ya milima yote ya [[Ulaya Magharibi]]. Vilele vingine ni [[Dunantspitze]] (mita 4,632), [[Grenzgipfel]] (mita 4,618) na [[Nordend]] (mita 4,609). |
||
==Tazama pia== |
==Tazama pia== |
Pitio la 12:31, 8 Mei 2018
Monte Rosa ni safu ya milima ya Alpi kati ya nchi za Italia na Uswisi (Ulaya).
Urefu wa kilele chake kirefu kabisa huitwa Dufourspitze na ni mita 4,634 juu ya usawa wa bahari, hivyo ni wa pili kati ya milima yote ya Ulaya Magharibi. Vilele vingine ni Dunantspitze (mita 4,632), Grenzgipfel (mita 4,618) na Nordend (mita 4,609).