Utakatifu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Utakatifu''' (kutoka [[kitenzi]] "kutakata") ni ule [[usafi]] wa pekee wa [[Mungu]] mwenyewe asiye na [[mawaa]]. |
|||
==Utakatifu== |
|||
⚫ | |||
[[Neno]] la [[Kiebrania]] [[Qadosh]] linamaanisha kujitenga au kutengwa. |
|||
Hivyo '''utakatifu ni ule usafi kwa kutengwa na [[Mungu]] mwenyewe aliemsafi na asie na [[mawaa]] |
|||
⚫ | |||
{{mbegu-dini}} |
|||
[[Jamii:Dini]] |
|||
[[Jamii:Maadili]] |
Pitio la 09:05, 7 Mei 2018
Utakatifu (kutoka kitenzi "kutakata") ni ule usafi wa pekee wa Mungu mwenyewe asiye na mawaa.
Neno la Kiebrania Qadosh linamaanisha kujitenga au kutengwa.
Katika Kigiriki kuna neno Hagios likimaanisha kutokuwa na makosa au udhaifu au uchafu.
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |