Ruaha Mkuu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 12: Mstari 12:
[[File:Dry Great Ruaha River and.jpg|thumb||Ruaha Mkuu jinsi ilivyokauka mwaka [[2006]] kwenye eneo la [[Hifadhi ya Ruaha|Hifadhi ya taifa ya Ruaha]].]]
[[File:Dry Great Ruaha River and.jpg|thumb||Ruaha Mkuu jinsi ilivyokauka mwaka [[2006]] kwenye eneo la [[Hifadhi ya Ruaha|Hifadhi ya taifa ya Ruaha]].]]
Maji ya Ruaha Mkuu ni muhimu kwa [[ekolojia]] ya [[beseni]] lake pamoja na [[watu]] wote wanaoishi huko. Lakini matumizi ya [[binadamu]] yameleta mvurugo kwa ekolojia ya mto na tangu mwaka [[1993]] mto umeanza kukauka wakati wa [[ukame]]. Uhaba wa maji umesababishwa na matumizi mabaya ya maji upande wa miradi mikubwa ya [[mpunga]] katika Usangu.
Maji ya Ruaha Mkuu ni muhimu kwa [[ekolojia]] ya [[beseni]] lake pamoja na [[watu]] wote wanaoishi huko. Lakini matumizi ya [[binadamu]] yameleta mvurugo kwa ekolojia ya mto na tangu mwaka [[1993]] mto umeanza kukauka wakati wa [[ukame]]. Uhaba wa maji umesababishwa na matumizi mabaya ya maji upande wa miradi mikubwa ya [[mpunga]] katika Usangu.

==Tazama pia==
* [[Mito ya Tanzania]]
* [[Orodha ya mito ya mkoa wa Morogoro]]


==Tanbihi==
==Tanbihi==
Mstari 17: Mstari 21:


==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==
* [http://www.geonames.org Geonames.org]
* [http://www.wwf.org.uk/filelibrary/pdf/ruaha.pdf WWF.org - The Ruaha Water Programme]
* [http://www.wwf.org.uk/filelibrary/pdf/ruaha.pdf WWF.org - The Ruaha Water Programme]
* [http://www.adventurecamps.co.tz/ruahainfo.htm Ruaha information with images]
* [http://www.adventurecamps.co.tz/ruahainfo.htm Ruaha information with images]

Pitio la 15:42, 1 Mei 2018

Mandhari ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha na mto wake tarehe 27 Julai 2003.

Ruaha Mkuu (pia: Ruaha Mkubwa) ni mto muhimu nchini Tanzania na tawimto wa Rufiji. Huitwa "Ruaha Mkuu" kwa kuutofautisha na "Ruaha Mdogo" unaoishia ndani yake, si mbali na Iringa Mjini. Jina Ruaha kwa Kihehe linamaanisha "maji mengi".

Chanzo na mwendo wa mto

Chanzo chake ni mito mingi midogo inayotelemka milima ya nyanda za juu za kusini mwa Tanzania, hasa safu za milima ya Uporoto na ya Kipengere. Mito hii inakusanya maji yake kwenye tambarare ya Usangu na ndipo Ruaha inapoanza. Mito mikubwa zaidi inayoungana hapa na kuunda Ruaha ni pamoja na mto Mbarali, mto Kimani na mto Chimala.

Karibu na Ng’iriama mto unatoka katika Usangu na kuingia hifadhi ya kitaifa ya Ruaha. Inaendelea kupokea Ruaha Mdogo na mto Kisigo kabla ya kuingia katika ziwa la lambo la Mtera, halafu inaendelea hadi lambo la Kidatu.

Baada ya Kidatu, Ruaha Mkuu unapita tambarare ya Kilombero hadi kuishia katika mto Rufiji.

Matatizo ya ekolojia ya mto

Ruaha Mkuu jinsi ilivyokauka mwaka 2006 kwenye eneo la Hifadhi ya taifa ya Ruaha.

Maji ya Ruaha Mkuu ni muhimu kwa ekolojia ya beseni lake pamoja na watu wote wanaoishi huko. Lakini matumizi ya binadamu yameleta mvurugo kwa ekolojia ya mto na tangu mwaka 1993 mto umeanza kukauka wakati wa ukame. Uhaba wa maji umesababishwa na matumizi mabaya ya maji upande wa miradi mikubwa ya mpunga katika Usangu.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Öhman, May-Britt, Taming Exotic Beauties: Swedish Hydro Power Constructions in Tanzania in the Era of Development Assistance, 1960s - 1990s, Stockholm, 2007, PhD Thesis, http://www.diva-portal.org/smash/record.jsf?pid=diva2:12267

Coordinates: 7°56′S 37°52′E / 7.933°S 37.867°E / -7.933; 37.867