Afro-Shirazi Party : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 10 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q388064 (translate me)
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Afro-Shirazi Party''' (kifupisho: ASP) ilikuwa chama cha siasa kisiwani kwa [[Zanzibar]]. Ilianzishwa wakati vyama viwili vingine, yaani ''Shiraz Party'' ya [[Waajemi]] na ''Afro Party'' ya Waafrika, vilipoungana. Uanzishaji wa chama hilo ukasababisha uondoaji wa [[Waarabu]] kutoka utawala wa Zanzibar katika mapinduzi ya mwaka wa [[1964]]. Mwaka wa [[1977]], ASP ilijiunga na [[TANU]] kuwa [[Chama cha Mapinduzi]].
'''Afro-Shirazi Party''' (kifupisho: ASP) ilikuwa chama cha siasa cha [[Zanzibar]]. Ilianzishwa mwaka 1957 kwa maungano kati ya Shirika la Washirazi (Shirazi Association) na Shirika la Waafrika (African Association). Shirika la Shirazi (lililoanzishwa 1939) lilikuwa maungano wa Waafrika wazalendo wa Unguja na Pemba, Shirika la Waafrika (lililoanzishwa 1934) maungano ya Waafrika wenye asili ya bara, pamoja na asili kati ya familia za watumwa wa awali kutoka bara na wafanyakazi waliokuwa walihamia katika karne ya 20.

Chama kilikuwa na wafuasi wengi kisiwani Unguja, ilhali sehemu ya Washirazi wa Pemba walipigia kura vyama vingine.

Katika uchaguzi kabla ya uhuru mwaka 1963 ASP ilipata asilimia 54.2 za kura lakini kutokana na mfumo wa uchaguzi haikupata wabunge wengi hivyo serikali ya kwanza baada ya ukoloni ilianzishwa na vyama vya ZNP na ZPFP.

Katika Januari wa 1964 kikundi cha wana ASP wenye silaha kilichoongozwa na John Okella ilipindua serikali ya [[Sultani wa Zanzibar]] pamoja na kuua wakazi wengi Waarabu na Wahindi na kuunda serikali ya kimapinduzi chini ya urais wa [[Abeid Karume]].

Mwaka wa [[1977]], ASP ilijiunga na [[TANU]] kuwa [[Chama cha Mapinduzi]].

==Marejeo==
* Mohammed Ali Bakari, The Democratisation Process in Zanzibar: A Retarded Transition, Hamburg ; Institut fur Afrika-Kunde , 2001.
(Hamburg African Studies ; ISBN 3-928049-71-2; ISSN 0947-4900 ([https://archive.org/download/bub_gb_9yCSamtUeiAC/bub_gb_9yCSamtUeiAC.pdf online hapa])


{{mbegu-siasa}}
{{mbegu-siasa}}

Pitio la 20:46, 8 Aprili 2018

Afro-Shirazi Party (kifupisho: ASP) ilikuwa chama cha siasa cha Zanzibar. Ilianzishwa mwaka 1957 kwa maungano kati ya Shirika la Washirazi (Shirazi Association) na Shirika la Waafrika (African Association). Shirika la Shirazi (lililoanzishwa 1939) lilikuwa maungano wa Waafrika wazalendo wa Unguja na Pemba, Shirika la Waafrika (lililoanzishwa 1934) maungano ya Waafrika wenye asili ya bara, pamoja na asili kati ya familia za watumwa wa awali kutoka bara na wafanyakazi waliokuwa walihamia katika karne ya 20.

Chama kilikuwa na wafuasi wengi kisiwani Unguja, ilhali sehemu ya Washirazi wa Pemba walipigia kura vyama vingine.

Katika uchaguzi kabla ya uhuru mwaka 1963 ASP ilipata asilimia 54.2 za kura lakini kutokana na mfumo wa uchaguzi haikupata wabunge wengi hivyo serikali ya kwanza baada ya ukoloni ilianzishwa na vyama vya ZNP na ZPFP.

Katika Januari wa 1964 kikundi cha wana ASP wenye silaha kilichoongozwa na John Okella ilipindua serikali ya Sultani wa Zanzibar pamoja na kuua wakazi wengi Waarabu na Wahindi na kuunda serikali ya kimapinduzi chini ya urais wa Abeid Karume.

Mwaka wa 1977, ASP ilijiunga na TANU kuwa Chama cha Mapinduzi.

Marejeo

  • Mohammed Ali Bakari, The Democratisation Process in Zanzibar: A Retarded Transition, Hamburg ; Institut fur Afrika-Kunde , 2001.

(Hamburg African Studies ; ISBN 3-928049-71-2; ISSN 0947-4900 (online hapa)