Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{| border=1 align=right cellpadding=4 cellspacing=0 width=300 style="margin: 0 0 1em 1em; background: #f9f9f9; border: 1px #aaaaaa solid; border-collapse: colla...' |
No edit summary |
||
Mstari 56: | Mstari 56: | ||
{{mbegu-jio-Afrika}} |
{{mbegu-jio-Afrika}} |
||
{{Afrika}} |
{{Afrika}} |
||
[[Jamii:Sahara]] |
[[Jamii:Sahara ya Magharibi]] |
||
[[Jamii:Nchi za Afrika]] |
[[Jamii:Nchi za Afrika]] |
||
[[Jamii:Nchi za Kiarabu]] |
[[Jamii:Nchi za Kiarabu]] |
Pitio la 13:55, 2 Aprili 2018
| |||
Wito: Uhuru, Demokrasia, Umoja | |||
Lugha rasmi | Ḥassānīya Kiarabu na Kihispania | ||
Mji mkuu na mji mkubwa | Laâyoune – (kwa maandishi ya Kimoroko: (El Aaiún, al-'uyūn)) | ||
Rais (serikali ya nje) | Mohamed Abdelaziz | ||
Waziri mkuu (serikali ya nje) | Abdelkader Taleb Oumar | ||
Eneo - jumla - % maji |
266,000 km² --- | ||
Wakazi - Jumla - Wakazi/km² |
267,405 (Julai 2004 kadirio) 1/km² | ||
Uhuru - Imetangazwa - Imetawaliwa |
Kutoka Hispania 27.02.1976 na Moroko | ||
Pesa | Dirham ya Moroko Dirham (MAD) | ||
Wakati | UTC 0 | ||
Wimbo la Taifa | Yābaniy Es-Saharā (listen) |
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara ni jina rasmi la dola ambalo liko hasa nje ya eneo lake la Sahara ya Magharibi.
Serikali yake inatawala kanda la mashariki ya nchi, nje ya ukuta wa Kimoroko na makambi ya wakimbizi 155,000 ndani ya Algeria.
Jamhuri ilitangazwa na Polisario mwaka 1976 baada ya kuondoka kwa Hispania katika koloni lake la awali. Lakini sehemu kubwa ya eneo ilivamiwa mara na kutawaliwa na Moroko.
Serikali imo mikononi mwa Polisario. Rais ya Jamhuri ni Katibu Mkuu wa Polisario Mohamed Abdelaziz. Nchi 53 zimekubali Jamhuri.
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Sahara kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Nchi za Afrika | |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira |