Kwale (ndege) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Nyongeza picha
Badiliko la sanduku la uainishaji
Mstari 11: Mstari 11:
| oda = [[Galliformes]] (Ndege kama [[kuku]])
| oda = [[Galliformes]] (Ndege kama [[kuku]])
| familia = [[Phasianidae]] (Ndege walio na mnasaba na [[kwale (ndege)|kwale]])
| familia = [[Phasianidae]] (Ndege walio na mnasaba na [[kwale (ndege)|kwale]])
| bingwa_wa_familia = [[Thomas Horsfield|Horsfield]], 1821
| jenasi = ''[[Dendroperdix]]'' <small>[[Austin Roberts|Roberts]], 1922</small><br>
| nusufamilia = [[Perdicinae]]
''[[Francolinus]]'' <small>[[James Francis Stephens|Stephens]], 1819</small><br>
| bingwa_wa_nusufamilia = Horsfield, 1821
''[[Peliperdix]]'' <small>[[Charles Lucien Bonaparte|Bonaparte]], 1856</small><br>
| subdivision = '''Jenasi 6 za kwale:'''
''[[Pternistis]]'' <small>[[Johann Georg Wagler|Wagler]], 1832</small><br>
''[[Scleroptila]]'' <small>[[Edward Blyth|Blyth]], 1849</small><br>
* ''[[Dendroperdix]]'' <small>[[Austin Roberts|Roberts]], 1922</small>
''[[Xenoperdix]]'' <small>[[Dinesen]], [[Lehmberg]], [[Svendsen]], [[Hans Jacob Hansen|Hansen]] & [[Jon Fjeldså|Fjeldså]], 1994</small>
* ''[[Francolinus]]'' <small>[[James Francis Stephens|Stephens]], 1819</small>
* ''[[Peliperdix]]'' <small>[[Charles Lucien Bonaparte|Bonaparte]], 1856</small>
| spishi = Angalia katiba
* ''[[Pternistis]]'' <small>[[Johann Georg Wagler|Wagler]], 1832</small>
* ''[[Scleroptila]]'' <small>[[Edward Blyth|Blyth]], 1849</small>
* ''[[Xenoperdix]]'' <small>[[Dinesen]], [[Lehmberg]], [[Svendsen]], [[Hans Jacob Hansen|Hansen]] & [[Jon Fjeldså|Fjeldså]], 1994</small>
}}
}}
'''Kwale''' (pia '''kware''') ni [[ndege (mnyama)|ndege]] wa [[jenasi]] mbalimbali katika [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Phasianidae]]. [[Spishi]] nne za ''Francolinus'' ambazo zina ngozi kichele yenye rangi kali kooni na pande zote za macho huitwa [[kereng'ende (ndege)|kereng'ende]] pia. Rangi ya kwale ni kahawia au kijivu na wana michirizi au madoa. Mara nyingi miguu yao ni myekundu au rangi ya manjano na koo lao ni jekundu, jeupe, jeusi au rangi ya manjano. Hujificha kwa kawaida lakini sauti yao husikika mara kwa mara. Chakula chao ni [[mbegu]], [[mdudu|wadudu]] na [[nyungunyungu]]. Hutaga mayai matatu hadi kumi ardhini pengine juu ya manyasi makavu.
'''Kwale''' (pia '''kware''') ni [[ndege (mnyama)|ndege]] wa [[jenasi]] mbalimbali katika [[nusufamilia]] [[Perdicinae]] wa [[familia (biolojia)|familia]] ya [[Phasianidae]]. [[Spishi]] nne za ''Francolinus'' ambazo zina ngozi kichele yenye rangi kali kooni na pande zote za macho huitwa [[kereng'ende (ndege)|kereng'ende]] pia. Rangi ya kwale ni kahawia au kijivu na wana michirizi au madoa. Mara nyingi miguu yao ni myekundu au rangi ya manjano na koo lao ni jekundu, jeupe, jeusi au rangi ya manjano. Hujificha kwa kawaida lakini sauti yao husikika mara kwa mara. Chakula chao ni [[mbegu]], [[mdudu|wadudu]] na [[nyungunyungu]]. Hutaga mayai matatu hadi kumi ardhini pengine juu ya manyasi makavu.


Karibu spishi zote zinatokea [[Afrika]] lakini spishi tano zinatokea [[Asia]].
Karibu spishi zote zinatokea [[Afrika]] lakini spishi tano zinatokea [[Asia]].

Pitio la 14:16, 30 Januari 2018

Kwa maana nyingine ya jina hili angalia hapa

Kwale
Kwale wa Hildebrandt
Kwale wa Hildebrandt
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Galliformes (Ndege kama kuku)
Familia: Phasianidae (Ndege walio na mnasaba na kwale)
Horsfield, 1821
Nusufamilia: Perdicinae
Horsfield, 1821
Ngazi za chini

Jenasi 6 za kwale:

Kwale (pia kware) ni ndege wa jenasi mbalimbali katika nusufamilia Perdicinae wa familia ya Phasianidae. Spishi nne za Francolinus ambazo zina ngozi kichele yenye rangi kali kooni na pande zote za macho huitwa kereng'ende pia. Rangi ya kwale ni kahawia au kijivu na wana michirizi au madoa. Mara nyingi miguu yao ni myekundu au rangi ya manjano na koo lao ni jekundu, jeupe, jeusi au rangi ya manjano. Hujificha kwa kawaida lakini sauti yao husikika mara kwa mara. Chakula chao ni mbegu, wadudu na nyungunyungu. Hutaga mayai matatu hadi kumi ardhini pengine juu ya manyasi makavu.

Karibu spishi zote zinatokea Afrika lakini spishi tano zinatokea Asia.

Spishi za Afrika

Spishi za Asia

Picha