Kiwango utatu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 4: | Mstari 4: | ||
{{Vipimo}} |
{{Category:Vipimo}} |
||
Pitio la 18:03, 27 Mei 2006
Kiwango utatu ni kiwango cha maji au dutu nyingine inapoweza kuwa mahali pamoja katika hali imara, kiowevu na gesi (kwa mfano wa maji: barafu, majimaji na mvuke). Kiwango hiki kinategemea halijoto na shindikizo.
Kiwango utatu cha maji ni kiwango cha kukadiria skeli ya selsiasi au sentigredi (273.16 K au 0.01 °C).
Wikimedia Commons ina media kuhusu: