Tobias Asser : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: zh:托比亚斯·阿赛尔 |
OKBot (majadiliano | michango) d robot Adding: it:Tobias Michael Carel Asser |
||
Mstari 22: | Mstari 22: | ||
[[fr:Tobias Asser]] |
[[fr:Tobias Asser]] |
||
[[id:Tobias Michael Carel Asser]] |
[[id:Tobias Michael Carel Asser]] |
||
[[it:Tobias Michael Carel Asser]] |
|||
[[ja:トビアス・アッセル]] |
[[ja:トビアス・アッセル]] |
||
[[nl:Tobias Asser]] |
[[nl:Tobias Asser]] |
Pitio la 08:12, 29 Desemba 2007
Tobias Michael Carel Asser (28 Aprili, 1838 – 29 Julai, 1913) alikuwa mwanasheria kutoka nchi ya Uholanzi. Alikuwa profesa wa sheria kwenye Chuo Kikuu cha Amsterdam. Mwaka wa 1899 na tena 1907 alikuwa mwakilishi wa Uholanzi kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague. Mwaka wa 1911, pamoja na Alfred Fried alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |