Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 16: Mstari 16:
Vizio vyote vingine kama vile eneo, shinikizo au ukinzani kiumeme vinatokana na vizio asilia.
Vizio vyote vingine kama vile eneo, shinikizo au ukinzani kiumeme vinatokana na vizio asilia.


[[Kipimo|Vipimo]] hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.
Vipimo hivi hutumika na wanasayansi kote duniani vimeenea pia katika bishara na ufundi. Hata hivyo katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.




==Tazama pia==
==Tazama pia==
*[[Vipimo asilia vya Kiswahili]]
*[[Vipimo asilia vya Kiswahili]]
*[[Vipimo vya Uingereza]]


[[Jamii:Vipimo]]
[[Jamii:Vipimo]]

Pitio la 12:52, 12 Novemba 2017

Vipimo sanifu vya kimataifa (ing. International system of measurements, far.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.

Mfumo huu unatumia vizio saba vya kimsingi pamoja na viambishi awali 20 kwa kutaja vigawe au sehemu za vizio hivi katika mfumo wa viambishi awali vya vipimo sanifu vya SI.


Vizio vya kimsingi ni:

Vizio vyote vingine kama vile eneo, shinikizo au ukinzani kiumeme vinatokana na vizio asilia.

Vipimo hivi hutumika na wanasayansi kote duniani vimeenea pia katika bishara na ufundi. Hata hivyo katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.


Tazama pia