Rada : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{multiple image
| align = right
| direction = horizontal
| width1 = 170
| image1 = Radar antenna.jpg
| alt1 = A long-range radar [[antenna (electronics)|antenna]], known as ''ALTAIR'', used to detect and track space objects in conjunction with [[anti-ballistic missile|ABM]] testing at the [[Ronald Reagan Ballistic Missile Defense Test Site|Ronald Reagan Test Site]] on [[Kwajalein Atoll]].<!--Original text, please keep it simple in the lead-->
| caption1 = Rada ya mbali sana.
| image2 = Radar-hatzerim-1-1.jpg
| width2 = 200
| alt2 = Israeli military radar is typical of the type of radar used for [[air traffic control]]. The antenna rotates at a steady rate, sweeping the local airspace with a narrow vertical fan-shaped beam, to detect aircraft at all altitudes.<!--Original text-->
| caption2 = Rada nyingine.
}}
'''Rada''' ni mfumo unaotumia [[mawimbi]] ya [[redio]] kutambua vitu na vyombo mbalimbali kwa kuangalia mambo kama aina, mwelekeo, [[kasi]] n.k.
'''Rada''' ni mfumo unaotumia [[mawimbi]] ya [[redio]] kutambua vitu na vyombo mbalimbali kwa kuangalia mambo kama aina, mwelekeo, [[kasi]] n.k.



Pitio la 11:52, 11 Oktoba 2017

A long-range radar antenna, known as ALTAIR, used to detect and track space objects in conjunction with ABM testing at the Ronald Reagan Test Site on Kwajalein Atoll.
Rada ya mbali sana.
Israeli military radar is typical of the type of radar used for air traffic control. The antenna rotates at a steady rate, sweeping the local airspace with a narrow vertical fan-shaped beam, to detect aircraft at all altitudes.
Rada nyingine.

Rada ni mfumo unaotumia mawimbi ya redio kutambua vitu na vyombo mbalimbali kwa kuangalia mambo kama aina, mwelekeo, kasi n.k.

Rada hutumika kuchunguza ndege, meli, roketi, magari, hali ya hewa, n.k.

Mfumo wa rada unatumia transimita kuzalisha mawimbi ya umeme na sumaku aina ya redio na antena ya kurusha na antena ya kupokea (mara nyingi antena hiyohiyo hutumika kwa kurusha na kupokea) na chombo cha kupokea na kutafsiri kitu kinachochunguzwa.

Rada iliundwa na mataifa kadhaa kwa siri kwa matumizi ya kijeshi katika kipindi cha kabla na wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.