22 Agosti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 16: | Mstari 16: | ||
== Waliofariki == |
== Waliofariki == |
||
* [[1155]] - [[Konoe]], mfalme mkuu wa Japani (1142-1155) |
|||
*[[1241]] - [[Papa Gregori IX]] |
*[[1241]] - [[Papa Gregori IX]] |
||
*[[1280]] - [[Papa Nikolasi III]] |
*[[1280]] - [[Papa Nikolasi III]] |
Pitio la 21:33, 8 Oktoba 2017
Jul - Agosti - Sep | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 22 Agosti ni siku ya 234 ya mwaka (ya 235 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 131.
Matukio
- 1864 - Nchi 12 zinakubali Mapatano ya Geneva zikihamasishwa na Henri Dunant, mwanzilishaji wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu
Waliozaliwa
- 1760 - Papa Leo XII
- 1924 - James Kirkwood, mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1976
- 1935 - Annie Proulx, mwandishi kutoka Marekani
- 1966 - Paul Ereng, mwanariadha wa Olimpiki kutoka Kenya
- 1966 - GZA, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1975 - Rodrigo Santoro, mwigizaji filamu kutoka Brazil
- 1985 - Jimmy Needham, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1991 - Federiko Macheda, mchezaji mpira kutoka Italia
Waliofariki
- 1155 - Konoe, mfalme mkuu wa Japani (1142-1155)
- 1241 - Papa Gregori IX
- 1280 - Papa Nikolasi III
- 1679 - Mtakatifu Yohane Wall, O.F.M., padri mfiadini nchini Uingereza
- 1958 - Roger Martin du Gard, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1937
- 1978 - Jomo Kenyatta, Rais wa kwanza wa Kenya (1964-1978)
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Bikira Maria Malkia, na ya mtakatifu Yohane Wall, padri na mfiadini
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 22 Agosti kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |