28 Desemba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 6: | Mstari 6: | ||
== Waliozaliwa == |
== Waliozaliwa == |
||
* [[1164]] - [[Rokujo]], mfalme mkuu wa Japani (1165-1168) |
|||
* [[1856]] - [[Woodrow Wilson]], [[Rais]] wa [[Marekani]], na mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1919]] |
* [[1856]] - [[Woodrow Wilson]], [[Rais]] wa [[Marekani]], na mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Amani]] mwaka wa [[1919]] |
||
* [[1880]] - [[Louis Leipoldt]], [[mwandishi]] wa [[Afrika Kusini]] |
* [[1880]] - [[Louis Leipoldt]], [[mwandishi]] wa [[Afrika Kusini]] |
Pitio la 16:20, 6 Oktoba 2017
Nov - Desemba - Jan | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 28 Desemba ni siku ya 362 ya mwaka (ya 363 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 3.
Matukio
- 418 - Uchaguzi wa Papa Bonifasi I
Waliozaliwa
- 1164 - Rokujo, mfalme mkuu wa Japani (1165-1168)
- 1856 - Woodrow Wilson, Rais wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1919
- 1880 - Louis Leipoldt, mwandishi wa Afrika Kusini
- 1944 - Kary Mullis, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1993
- 1990 - David Archuleta, mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki
- mnamo 6 BK - Watoto wa Bethlehemu wakati wa kuzaliwa Yesu - hii ni tarehe ya kuwakumbuka kiliturujia
- 1622 - Mtakatifu Fransisko wa Sales, askofu Mkatoliki na mwalimu wa Kanisa kutoka Ufaransa
- 1991 - Cassandra Harris, mwigizaji wa filamu kutoka Australia
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha sikukuu ya watakatifu Watoto wafiadini, na ya mtakatifu Gaspare Del Bufalo, padri
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 28 Desemba kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |