Imani sahihi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 10: Mstari 10:


Baada ya [[farakano la mwaka 1054]] kati ya [[Kanisa la Kilatini]] na [[Makanisa ya Mashariki]] ambayo yalikuwa bado na [[ushirika]] na [[Papa]] wa [[Roma]], ingawa pande zote mbili ziliendelea kujiona ya ''Kiorthodoksi'' na ya [[Katoliki|Kikatoliki]], polepole neno la kwanza limekuwa likitumiwa zaidi na [[Ukristo wa Mashariki]] na lile la pili na [[Ukristo wa Magharibi]].
Baada ya [[farakano la mwaka 1054]] kati ya [[Kanisa la Kilatini]] na [[Makanisa ya Mashariki]] ambayo yalikuwa bado na [[ushirika]] na [[Papa]] wa [[Roma]], ingawa pande zote mbili ziliendelea kujiona ya ''Kiorthodoksi'' na ya [[Katoliki|Kikatoliki]], polepole neno la kwanza limekuwa likitumiwa zaidi na [[Ukristo wa Mashariki]] na lile la pili na [[Ukristo wa Magharibi]].

==Tazama pia==
*[[Imani ya Kanisa]]


== Tanbihi==
== Tanbihi==

Pitio la 12:43, 5 Septemba 2017

Kanuni ya Imani ya Nisea ni kigezo kimojawapo cha kupimia usahihi wa imani katika Ukristo.

Imani sahihi (kwa Kiingereza Orthodoxy, kutoka maneno ya Kigiriki orthos + doxa,[1]) ni msimamo unaokubali mafundisho sanifu ya dini fulani, tofauti na yale ya wachache.[2]

Umuhimu wa jambo hilo unasisitizwa hasa katika dini inayokiri umoja wa Mungu, lakini si katika dini nyingine kama zile za jadi au za miungu miungu.

Katika Ukristo, inamaanisha kwa kawaida kukubali imani kama ilivyofundishwa na mitaguso ya kiekumene katika karne za kwanza za dini hiyo dhidi ya uzushi wa aina mbalimbali.[1]

Historia

Matumizi ya neno hilo yanashuhudiwa kwanza na Codex Iustinianus (Mkusanyo wa Justiniani I) ya miaka 529-534, inayodai majimbo yote duniani yawekwe chini ya maaskofu waliokubali kanuni ya imani ya mtaguso mkuu wa Nisea[3] but "heterodoxy" was in use from the beginning of the first century of Christianity.[4]

Baada ya farakano la mwaka 1054 kati ya Kanisa la Kilatini na Makanisa ya Mashariki ambayo yalikuwa bado na ushirika na Papa wa Roma, ingawa pande zote mbili ziliendelea kujiona ya Kiorthodoksi na ya Kikatoliki, polepole neno la kwanza limekuwa likitumiwa zaidi na Ukristo wa Mashariki na lile la pili na Ukristo wa Magharibi.

Tazama pia

Tanbihi

  1. 1.0 1.1 orthodox. Dictionary.com. Online Etymology Dictionary. Douglas Harper, Historian. Dictionary Definition (accessed: March 03, 2008).
  2. orthodox. Dictionary.com. The American Heritage Dictionary of the English Language, Fourth Edition. Houghton Mifflin Company, 2004. Dictionary definition (accessed: March 03, 2008).
  3. Liddell & Scott; Code of Justinian: "We direct that all Catholic churches, throughout the entire world, shall be placed under the control of the orthodox bishops who have embraced the Nicene Creed."
  4. Jostein Ådna (editor), The Formation of the Early Church (Mohr Siebeck 2005 ISBN 978-316148561-9), p. 342
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Imani sahihi kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.