Selulosi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 4: Mstari 4:
Selulosi inapatikana zaidi kwenye mimea ya kijani na inatengeneza [[kiwambaseli]] cha mmea.
Selulosi inapatikana zaidi kwenye mimea ya kijani na inatengeneza [[kiwambaseli]] cha mmea.


==Tanbihi==
{{marejeo}}
{{mbegu-biolojia}}
{{mbegu-biolojia}}



Pitio la 09:20, 5 Agosti 2017

Selulosi.

Selulosi (kutoka neno la Kiingereza "cellulose"[1]) ni tishu iundayo sehemu kubwa ya miti na mimea mingine. Kikemikali inaundwa na kuwa kaboni yenye fomula (C6H10O5)n.

Selulosi inapatikana zaidi kwenye mimea ya kijani na inatengeneza kiwambaseli cha mmea.

Tanbihi

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Selulosi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.