Selulosi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 4: | Mstari 4: | ||
Selulosi inapatikana zaidi kwenye mimea ya kijani na inatengeneza [[kiwambaseli]] cha mmea. |
Selulosi inapatikana zaidi kwenye mimea ya kijani na inatengeneza [[kiwambaseli]] cha mmea. |
||
==Tanbihi== |
|||
{{marejeo}} |
|||
{{mbegu-biolojia}} |
{{mbegu-biolojia}} |
||
Pitio la 09:20, 5 Agosti 2017
Selulosi (kutoka neno la Kiingereza "cellulose"[1]) ni tishu iundayo sehemu kubwa ya miti na mimea mingine. Kikemikali inaundwa na kuwa kaboni yenye fomula (C6H10O5)n.
Selulosi inapatikana zaidi kwenye mimea ya kijani na inatengeneza kiwambaseli cha mmea.
Tanbihi
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Selulosi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |