Rukia yaliyomo

Mshale (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho

no edit summary
No edit summary
No edit summary
[[Picha:Sidney Hall - Urania's Mirror - Sagittarius and Corona Australis, Microscopium, and Telescopium.jpg|thumb|Kausi (sagittarius) jinsi anavyochorwa na msanii]]
 
'''Kausi''' ni jina la [[kundinyota]] kwenye [[zodiaki]] inayojulikana pia kwa jina la Kilatini '''[[:en:Sagittarius (constellation)|Sagittarius]]'''<ref>[[Uhusika milikishi]] ''([[:en:genitive]])'' ya neno "Sagittarius" katika lugha ya [[Kilatini]] ni "Sagittarii" na hili ni umbo la jina linaloonekana katika majina ya nyota za kundi hili kama vile Alfa Sagittarii, nk.</ref>.
 
==Jina==
 
Katika eneo la Kausi wanaastronomia walitambua magimba ya angani kadhaa ya maana. Hizi ni pamoja na
*SagittariusAlfa ASagittarii ambayo ni chanzo cha mawimbi ya redio; inaaminiwa ya kwamba mawimbi haya ni dalili za kuwepo kwa [[shimo cheusi]] kubwa sana
*[[Nebula]] kadhaa zilizoandikishwa katika [[orodha ya Messier]] kama vile nebula za lagoon, omega na red spider.
 
==Tanbihi==
<references/>
 
==Marejeo==