Ngisi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
Nyongeza matini
Mstari 1: Mstari 1:
{{Uainishaji
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| rangi = #D3D3A4
| jina = Ngisi
| jina = Ngisi
| picha = Sepioteuthis lessoniana (Tokyo Sea Life Park, Kasai Rinkai Suizokuen, Japan) 2.jpg
| picha = Sepioteuthis lessoniana (Tokyo Sea Life Park, Kasai Rinkai Suizokuen, Japan) 2.jpg
| upana_wa_picha = 250px
| upana_wa_picha = 250px
Mstari 15: Mstari 15:
* [[Oegopsina]]
* [[Oegopsina]]
}}
}}
'''Ngisi''' ni [[mnyama|wanyama]] wa [[bahari]] wenye [[mnyiri|minyiri]] kumi.
'''Ngisi''' ni [[mnyama|wanyama]] wa [[bahari]] wenye [[mnyiri|minyiri]] kumi. Minane baina ya hiyo huitwa [[mkono|mikono]] na miwili mingine ni minyiri kweli. Kwa urefu wote wa chini ya mikono kuna [[kikombe|vikombe]] vya kumung'unyia vilivyo na vikulabu mara nyingi. Minyiri inabeba vikombe kama hivi juu ya bako mwishoni.

Minyiri hutumika kwa kukamata wanyama wadogo na mikono hutumika kwa kushika mawindo wakati mnyama akiyakula. Ngisi wana [[mdomo|domo]] linalofanana na lile la [[kasuku]] ili kupapua nyama kutoka mawindo.

Ngisi huogelea kwa kuondoa [[maji]] kwa nguvu kupitia mrija ([[w:Siphon (mollusc)|siphon]]) wao. Wanaweza kubadilisha rangi yao na kufanana na kinyume ili kujificha kwa mawindo na maadui. Wakivumbuliwa na adui huruka wakitoa ghubari la wino ili kumkanganya.

Ukubwa wa takriban spishi zote ni chini ya [[sm]] 60 lakini [[ngisi mkubwa]] inaweza kufika [[m]] 13 na [[ngisi dubwana]] inafika hata m 14. Ngisi dubwana mkubwa kuliko wote waliokamatwa alivuliwa mwaka 2007 karibu na [[Antakitiki]]. Uzito wake ulikuwa [[kg]] 495 na urefu wake m 10.
Pweza wanaweza kushambulia [[mtu|watu]] lakini hii ni adimu. Wakichochewa wanauma kwa domo lao na wanatoa [[sumu]], lakini spishi moja tu, [[pweza mazingo-buluu]], ana sumu inayoweza kuua watu

==Kama chakula==
Ngisi huliwa sana na watu duniani kote. [[Chakula]] hiki huitwa [[kalamari]].

==Picha==
<gallery>
Giant squid tentacle club.jpg|Mnyiri
Bec squid.jpg|Mikono na domo
Architeuthis.jpg|Ngisi mkubwa katika Makumbusho ya Taifa ya Hispania
N20090116 120650--pan.jpg|Ngisi dubwana katika Makumbusho Te Papa, Wellington, Nyuzilandi
</gallery>


{{Mbegu-mnyama}}
{{Mbegu-mnyama}}

Pitio la 15:58, 9 Julai 2017

Ngisi
Ngisi mapezi-makubwa (Sepioteuthis lessoniana)
Ngisi mapezi-makubwa (Sepioteuthis lessoniana)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Mollusca (Wanyama bila mifupa wenye ulimi kama tupa)
Ngeli: Cephalopoda
Oda ya juu: Decapodiformes
Oda: Teuthida
Ngazi za chini

Nusuoda 2:

Ngisi ni wanyama wa bahari wenye minyiri kumi. Minane baina ya hiyo huitwa mikono na miwili mingine ni minyiri kweli. Kwa urefu wote wa chini ya mikono kuna vikombe vya kumung'unyia vilivyo na vikulabu mara nyingi. Minyiri inabeba vikombe kama hivi juu ya bako mwishoni.

Minyiri hutumika kwa kukamata wanyama wadogo na mikono hutumika kwa kushika mawindo wakati mnyama akiyakula. Ngisi wana domo linalofanana na lile la kasuku ili kupapua nyama kutoka mawindo.

Ngisi huogelea kwa kuondoa maji kwa nguvu kupitia mrija (siphon) wao. Wanaweza kubadilisha rangi yao na kufanana na kinyume ili kujificha kwa mawindo na maadui. Wakivumbuliwa na adui huruka wakitoa ghubari la wino ili kumkanganya.

Ukubwa wa takriban spishi zote ni chini ya sm 60 lakini ngisi mkubwa inaweza kufika m 13 na ngisi dubwana inafika hata m 14. Ngisi dubwana mkubwa kuliko wote waliokamatwa alivuliwa mwaka 2007 karibu na Antakitiki. Uzito wake ulikuwa kg 495 na urefu wake m 10. Pweza wanaweza kushambulia watu lakini hii ni adimu. Wakichochewa wanauma kwa domo lao na wanatoa sumu, lakini spishi moja tu, pweza mazingo-buluu, ana sumu inayoweza kuua watu

Kama chakula

Ngisi huliwa sana na watu duniani kote. Chakula hiki huitwa kalamari.

Picha

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ngisi kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.