Wanyiha : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 7: Mstari 7:
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
{{DEFAULTSORT:Nyiha}}
{{DEFAULTSORT:Nyiha}}
{{Makabila ya Tanzania}}

[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Makabila ya Zambia]]
[[Jamii:Makabila ya Zambia]]

Pitio la 12:22, 9 Julai 2017

Wanyiha ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Mbozi. Pia wako Zambia. Lugha yao ni Kinyiha.

Wanyiha wamezungukwa na makabila mbalimbali wakiwemo Wasafwa, Wandali, Wanyakyusa, Wabungu na Wanyamwanga.

Wanyiha walio wengi ni wakulima: zao kuu la chakula ni mahindi wakati zao kubwa la biashara ni kahawa.

Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wanyiha kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.