Anatomia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Image:Mondino - Anathomia, 1541 - 3022668.tif|thumb|[[Mondino dei Liuzzi]], ''Anathomia'', 1541]] |
[[Image:Mondino - Anathomia, 1541 - 3022668.tif|thumb|[[Mondino dei Liuzzi]], ''Anathomia'', 1541]] |
||
'''Anatomia''' (pia '''anatomi'''<ref>Anatomi ni pendekezo la [[KyT]] kutokana na matamshi ya Kiingereza</ref>, ''[[:en:anatomy]]'', kutoka [[Kigiriki]] ἀνατέμνειν '' |
'''Anatomia''' (pia '''anatomi'''<ref>Anatomi ni pendekezo la [[KyT]] kutokana na matamshi ya Kiingereza</ref>, ''[[:en:anatomy]]'', kutoka [[Kigiriki]] ἀνατέμνειν ''anatemnein - kupasua, kufungua'') ni [[elimu]] ya [[mwili|miili]] ya [[viumbehai]] kama [[binadamu]], [[wanyama]] na [[mimea]]. Inachungulia [[muundo]] na umbile la mwili na sehemu au [[viungo]] vyake. |
||
Wataalamu wa anatomia hufungua mwili na kuikata kwa sehemu zake kwa kusudi la kuongeza elimu ya muundo wake. |
[[Wataalamu]] wa anatomia hufungua mwili na kuikata kwa sehemu zake kwa kusudi la kuongeza elimu ya muundo wake. |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
==Marejeo== |
==Marejeo== |
||
<references/> |
<references/> |
||
== Tazama pia == |
== Tazama pia == |
||
* [[Tiba]] |
|||
* [[Biolojia]] |
* [[Biolojia]] |
||
* [[Sayansi]] |
* [[Sayansi]] |
||
Mstari 20: | Mstari 17: | ||
[[Jamii:Anatomia|*]] |
[[Jamii:Anatomia|*]] |
||
[[Jamii:Mwili]] |
[[Jamii:Mwili]] |
||
[[Jamii:Biolojia]] |
Pitio la 11:54, 16 Juni 2017
Anatomia (pia anatomi[1], en:anatomy, kutoka Kigiriki ἀνατέμνειν anatemnein - kupasua, kufungua) ni elimu ya miili ya viumbehai kama binadamu, wanyama na mimea. Inachungulia muundo na umbile la mwili na sehemu au viungo vyake.
Wataalamu wa anatomia hufungua mwili na kuikata kwa sehemu zake kwa kusudi la kuongeza elimu ya muundo wake.
Elimu hii inasaidia kuelewa magonjwa, pamoja na sababu na matokeo yake. Ni pia msingi wa mafundisho ya tiba na elimu ya matibabu.
Marejeo
Tazama pia
Makala hii kuhusu mambo ya anatomia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Anatomia kama matumizi yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |