Kamusi ya Tiba : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
'''Kamusi ya Tiba''' ('''KyT''') ni kamusi iliyotolewa na [[TUKI]] inayokusanya istilahi za [[tiba]]. Inapanga istilahi kwa lugha ya Kiingereza na kuonyesha visawe vyake vya Kiswahili.
'''Kamusi ya Tiba''' ('''KyT''') ni kamusi iliyotolewa na [[TUKI]] inayokusanya istilahi za [[tiba]]. Inapanga istilahi kwa lugha ya Kiingereza na kuonyesha visawe vyake vya Kiswahili.


Kamusi hii iliandaliwa na wanaistilahi wawili wa [[Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili]] kwenye [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]] ambao ni A.M.A. Mwita pamoja na H.J.M. Mwansoko na kuchapishwa mara ya kwanza mwaka 2003 kwa kutumia [[ISBN]] 9976 911 65 3.
Kamusi hii iliandaliwa na wanaistilahi wawili wa [[Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili]] kwenye [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]] ambao ni A.M.A. Mwita pamoja na H.J.M. Mwansoko na kuchapishwa mara ya kwanza mwaka 2003 kwa kutumia ISBN 9976-911-65-3.


Kamusi hii haipatikani kwa urahisi kwenye maduka ya vitabu nje ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na hivyo istilahi zake hazikutumiwa katika makala za kwanza za tiba zilizotungwa katika wikipedia hii.
Kamusi hii haipatikani kwa urahisi kwenye maduka ya vitabu nje ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na hivyo istilahi zake hazikutumiwa katika makala za kwanza za tiba zilizotungwa katika wikipedia hii.

Pitio la 14:10, 13 Juni 2017

Kamusi ya Tiba (KyT) ni kamusi iliyotolewa na TUKI inayokusanya istilahi za tiba. Inapanga istilahi kwa lugha ya Kiingereza na kuonyesha visawe vyake vya Kiswahili.

Kamusi hii iliandaliwa na wanaistilahi wawili wa Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambao ni A.M.A. Mwita pamoja na H.J.M. Mwansoko na kuchapishwa mara ya kwanza mwaka 2003 kwa kutumia ISBN 9976-911-65-3.

Kamusi hii haipatikani kwa urahisi kwenye maduka ya vitabu nje ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na hivyo istilahi zake hazikutumiwa katika makala za kwanza za tiba zilizotungwa katika wikipedia hii.