Siri : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
SIRI |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
''' |
'''Siri''' ni [[jambo]] lolote ambalo [[mtu]] analiona haifai kumshirikisha mtu yeyote |
||
yule, haijalishi ni nani. |
|||
yuleaijalishi ninani |
|||
Kila mmoja ana [[haki]] ya kuwa na siri zake. |
|||
Katika [[maisha]] ya [[jamii]], siri ni muhimu, kiasi kwamba ni [[wajibu]] kwa baadhi ya [[kazi]], kama vile [[ushauri]], [[uganga]], [[huduma]] za [[benki]] n.k. |
|||
{{mbegu}} |
|||
[[Jamii:Saikolojia]] |
|||
[[Jamii:Maadili]] |
Pitio la 14:11, 12 Juni 2017
Siri ni jambo lolote ambalo mtu analiona haifai kumshirikisha mtu yeyote yule, haijalishi ni nani.
Kila mmoja ana haki ya kuwa na siri zake.
Katika maisha ya jamii, siri ni muhimu, kiasi kwamba ni wajibu kwa baadhi ya kazi, kama vile ushauri, uganga, huduma za benki n.k.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |