Kislavoni cha Mashariki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: uk:Східнослов'янські мови |
d robot Adding: mk:Источнословенски јазици |
||
Mstari 27: | Mstari 27: | ||
[[ja:東スラヴ語群]] |
[[ja:東スラヴ語群]] |
||
[[ko:동슬라브어군]] |
[[ko:동슬라브어군]] |
||
[[mk:Источнословенски јазици]] |
|||
[[no:Østslaviske språk]] |
[[no:Østslaviske språk]] |
||
[[pl:Języki wschodniosłowiańskie]] |
[[pl:Języki wschodniosłowiańskie]] |
Pitio la 20:22, 23 Desemba 2007
Kislavoni cha Mashariki ni kundi la lugha za Kislavoni zinazozungumzwa katika Ulaya ya Mashariki. Ni lugha tatu za Kirusi, Kiukraine na Kibelarus. Idadi ya wasemaji wa lugha hizi ni kubwa kushinda idadi ya wasemaji wa lugha za Kislavoni cha Kusini au cha Magharibi.
Lugha zote tatu zilitokana katika lugha ya pamoja inayoaminiwa ilitumiwa katika Ulaya ya Mashariki mnamo mwaka 1000 / 1200 BK. Ziliachana baadaye na kukuza tabia za pekee.
Lugha zote tatu hutumia mwandiko wa Kikyrili.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |