Boris Leonidovich Pasternak : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: nn:Boris Pasternak |
robot Modifying: zh:鲍里斯·列昂尼多维奇·帕斯捷尔纳克 |
||
Mstari 57: | Mstari 57: | ||
[[uk:Пастернак Борис Леонідович]] |
[[uk:Пастернак Борис Леонідович]] |
||
[[vi:Boris Leonidovich Pasternak]] |
[[vi:Boris Leonidovich Pasternak]] |
||
[[zh: |
[[zh:鲍里斯·列昂尼多维奇·帕斯捷尔纳克]] |
Pitio la 14:54, 23 Desemba 2007
Boris Leonidovich Pasternak (10 Februari, 1890 – 30 Mei, 1960) alikuwa mwandishi na mshairi kutoka nchi ya Urusi. Ingawa aliandika mashairi kwa ujumla, anajulikana hasa kwa riwaya yake "Daktari Zhivago" iliyotolewa mwaka wa 1956. Mwaka wa 1958 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi lakini aliikataa kwa sababu ya upinzani katika nchi yake.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |