John Fisher : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Tengua pitio 985495 lililoandikwa na Nikkimaria (Majadiliano)
No edit summary
Mstari 5: Mstari 5:


Mwaka 1935 alitangazwa na [[Papa Pius XI]] kuwa [[mtakatifu]] [[mfiadini]]. Sikukuu yake ni [[22 Juni]] katika Kanisa Katoliki, na [[6 Julai]] katika Kanisa [[Anglikana]].
Mwaka 1935 alitangazwa na [[Papa Pius XI]] kuwa [[mtakatifu]] [[mfiadini]]. Sikukuu yake ni [[22 Juni]] katika Kanisa Katoliki, na [[6 Julai]] katika Kanisa [[Anglikana]].

==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]


==Maandishi yake==
==Maandishi yake==
Mstari 25: Mstari 30:


==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==
* {{Commons category-inline}}
{{Commons}}
* {{Catholic|wstitle=St. John Fisher}}
* [http://www.newadvent.org/cathen/08462b.htm Catholic Encyclopedia: ''St. John Fisher'']
* [http://www.newadvent.org/cathen/08462b.htm Catholic Encyclopedia: ''St. John Fisher'']
* [http://www.fisherhouse.org.uk Fisher House – Catholic Chaplaincy to the University of Cambridge]
* [http://www.fisherhouse.org.uk Fisher House – Catholic Chaplaincy to the University of Cambridge]
Mstari 33: Mstari 37:
* [http://www.findagrave.com/cgi-bin/fg.cgi?page=gr&GSvcid=39190&GRid=6849& Memorial Page on FindaGrave]
* [http://www.findagrave.com/cgi-bin/fg.cgi?page=gr&GSvcid=39190&GRid=6849& Memorial Page on FindaGrave]
* [http://www.sjf.org/about/patron.html St. John Fisher - Bishop and Martyr] from St. John Fisher Catholic Church, Rancho Palos Verdes, CA
* [http://www.sjf.org/about/patron.html St. John Fisher - Bishop and Martyr] from St. John Fisher Catholic Church, Rancho Palos Verdes, CA
* {{Cite EB1911|wstitle=Fisher, John}}


{{Mbegu-Mkristo}}
{{Mbegu-Mkristo}}

Pitio la 10:23, 1 Juni 2017

John Fisher

John Fisher au John wa Rochester (146922 Juni 1535) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki kule Uingereza.

Pamoja na Thomas More, alimkataa mfalme Henry VIII aliyejitenga na Kanisa la Roma. Kwa hiyo, John Fisher alifungwa na baada ya kushtakiwa mahakamani aliuawa. Kabla ya hapo Papa Paulo III alimteua kuwa kardinali.

Mwaka 1935 alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mtakatifu mfiadini. Sikukuu yake ni 22 Juni katika Kanisa Katoliki, na 6 Julai katika Kanisa Anglikana.

Tazama pia

Maandishi yake

Orodha yake inapatikana katika Joseph Gillow's Bibliographical Dictionary of the English Catholics (London, s.d.), II, 262–270. Kati ya vitabu vyake 26, muhimu zaidi ni:

  • Treatise concernynge...the seven penytencyall Psalms" (London, 1508);
  • Sermon...agayn ye pernicyous doctrin of Martin Luther (London, 1521);
  • Defensio Henrici VIII" (Cologne, 1525);
  • De Veritate Corporis et Sanguinis Christi in Eucharistia, adversus Johannem Oecolampadium (Cologne, 1527);
  • The Ballad of Barry Buttock, a Cautionary Tale (London, 1529);
  • De Causa Matrimonii...Henrici VIII cum Catharina Aragonensi (Alcalá de Henares, 1530);
  • The Wayes to Perfect Religion (London, 1535);
  • A Spirituall Consolation written...to hys sister Elizabeth (London, 1735).

Marejeo

  • E. Surtz, "The Works and Days of John Fisher," Boston: Harvard University Press, 1967.
  • E.E. Reynolds, "Saint John Fisher," Wheathampstead: Anthony Clarke, 1972.
  • "Humanism, Reform and the Reformation: The Career of Bishop John Fisher," edited by B. Bradshaw & Eamon Duffy, Cambridge University Press, 1989.
  • Richard Rex, "The Theology of John Fisher," Cambridge University Press
  • "The English Works of John Fisher, Bishop of Rochester (1469–1535): Sermons and other Writings, 1520–1535," edited by Cecilia A. Hatt, Oxford University Press, 2002.

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.