Nenda kwa yaliyomo

Wizara ya Nishati na Madini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka MEM)
Wizara ya Nishati na Madini
English: Ministry of Energy and Minerals
MamlakaTanzania
Makao MakuuSamora Avenue, Dar es Salaam
WaziriSospeter Muhongo
Naibu WaziriStephen Masele
Katibu MkuuEliachim Maswi
Tovutimem.go.tz

Wizara ya Nishati na Madini (kwa Kiingereza: Ministry of Energy and Minerals; kifupi (MEM)) ilikuwa wizara ya serikali nchini Tanzania.

Ofisi kuu za wizara hii zilikuwa jijini Dar es Salaam.

Tarehe 7 Oktoba 2017 John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa awamu ya tano, aliivunja wizara hii na kuifanya kuwa wizara mbili tofauti: Wizara ya Nishati na Wizara ya Madini, na tarehe 9 Oktoba 2017 aliweza kuwaapisha rasmi mawaziri na naibu mawaziri wa wizara hizo.

    Tazama pia

    [hariri | hariri chanzo]

    Viungo vya nje

    [hariri | hariri chanzo]
    Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
    Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Nishati na Madini Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
    Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
    Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.