Linksi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Lynx)
Linksi
Linksi wa Ulaya (Lynx lynx)
Linksi wa Ulaya (Lynx lynx)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Felinae (Wanyama wanaofanana na paka)
Jenasi: Lynx
Kerr, 1792
Ngazi za chini

Spishi 4:

Misambao ya spishi za linksi: machungwa - L. lynx nyekundu - L. pardinus zambarau - L. canadensis kijani - L. rufus
Misambao ya spishi za linksi:

machungwa - L. lynx
nyekundu - L. pardinus
zambarau - L. canadensis

kijani - L. rufus

Linksi (kutoka Kigir. λυνξ na Kilat. lynx) ni jenasi ya paka pori wa Amerika ya Kaskazini, Asia na Ulaya.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Spishi ya kabla ya historia[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Linksi kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.