Lulo wa Mainz

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Lulo huko Bad Hersfeldg.

Lulo wa Mainz (Wessex, Uingereza, 710[1] - Hersfeld, Ujerumani, 16 Oktoba 786 hivi) alikuwa mmonaki Mbenedikto aliyehamia Ulaya Bara kama mmisionari na hatimaye askofu mkuu wa Mainz baada ya Bonifas[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyoaga dunia[3]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Anton Philipp Brück: "Der Mainzer „Lullismus“ im 18. Jahrhundert", in: JbBistumMainz; 4, 1949, pp. 314–338.
  • Michael Fleck (ed.): Lampert von Hersfeld. Das Leben des heiligen Lullus. N. G. Elwert, Marburg, 2007. ISBN|978-3-7708-1308-7
  • Jakob Schmidt: "Zwei angelsächsische Heilige, St. Bonifatius und St. Lullus, als Oberhirten von Mainz", in: JbBistumMainz; 2, 1947, pp. 274–291.
  • Franz Staab: "Lul und die Entwicklung vom Bistum zum Erzbistum". In: Handbuch der Mainzer Kirchengeschichte, Bd. 1 Christliche Antike und Mittelalter. Echter, Würzburg 2000, pp. 136–145 ISBN|3-429-02258-4

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.