Luigi Galvani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Luigi Galvani alivyochorwa.
Jaribio la De viribus electricitatis in motu musculari.

Luigi Galvani (matamshi ya Kiitalia: luˈiːdʒi ɡalˈvaːni; kwa Kilatini: Aloysius Galvanus; 9 Septemba 17374 Desemba 1798) alikuwa mwanafizikia, tabibu, mwanabiolojia na mwanafalsafa wa Italia. Ni maarufu kwa kuvumbua umeme mwilini mwa wanyama na anatambulikana kama mwanzilishi wa umemesumaku wa kibiolojia.

Mwaka 1780 alivumbua kwamba misuli ya miguu ya vyura wafu ilishtuka ilipochokozwa kwa umeme kidogo.[1]

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

  • De viribus electricitatis, 1791. The International Centre for the History of Universities and Science (CIS), Università di Bologna

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Whittaker, E. T. (1951), A history of the theories of aether and electricity. Vol 1, Nelson, London 

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Luigi Galvani kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.