Lucien Bonaparte (kardinali)
Mandhari
Lucien Louis Joseph Napoléon Bonaparte (15 Novemba 1828 – 19 Novemba 1895), Mtemi wa Nne wa Canino na Musignano, alikuwa kardinali wa Ufaransa kutoka familia ya Napoleon Bonaparte.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ de Brotonne, Léonce (1893). Les Bonaparte et leurs alliances. ku. 12–14. OCLC 14470978.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |