Luís Miguel Muñoz Cárdaba
Mandhari
Luis Miguel Muñoz Cárdaba (alizaliwa 25 Agosti 1965) ni askofu wa hispania wa Kanisa Katoliki ambaye amekuwa akifanya kazi katika idara ya kidiplomasia ya Vatikani tangu mwaka 2001. [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |