Linus Torvalds

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Linus Torvalds mnamo 2018

Linus Benedict Torvalds (alizaliwa 28 Desemba, 1969) ni mhandisi wa programu wa Marekani ambaye kihistoria ndiye muundaji mkuu wa Linux kernel, inayotumiwa na aina mbalimbali za Linux na mifumo mingine ya uendeshaji kama vile Android

Alitunukiwa, pamoja na Shinya Yamanaka tuzo ya Teknolojia mnamo 2012 na Chuo cha Teknolojia cha Finland "kwa kutambua uundaji wake wa mfumo mpya wa uendeshaji katika kompyuta zinazoongozwa na Linux kernel ."[1] Pia ndiye mpokeaji wa tuzo ya Computer Society Computer Pioneer Award mnamo mwaka 2014 [2] na tuzo ya IEEE Masaru Ibuka Consumer Electronics Award mnamo 2018.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Linus Torvalds kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.