Leonidas wa Aleksandria
Mandhari


Leonidas wa Aleksandria (kwa Kigiriki: Λεωνίδης, Leonides; karne ya 2 - 202) alikuwa Mkristo wa Misri ambaye alifia dini yake kwa upanga wakati wa dhuluma ya kaisari Septimius Severus[1].
Leonidas alimsaidia mwanae Origen kujiendeleza kadiri ya akili yake kubwa ajabu na kujua Biblia tangu utotoni[2]. Baada ya huyo, alizaa walau watoto wengine sita[3][4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Eusebius Pamphilius, Church History, Book VI, Chapter I
- ↑ "Origen's father". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-07. Iliwekwa mnamo 2019-09-27.
- ↑ Crouzel, H. trans. A. S. Worrall, Origen (Edinburgh: T&T Clark, 1989)
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/50250
- ↑ https://dacb.org/stories/egypt/leonides/
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Butler, A., Lives of the Saints: St. Leonides, Martyr, accessed 23 December 2016
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |