Lamborghini Reventòn

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lamborghini Reventòn

Lamborghini Reventón (matamshi ya Kihispania: [reβenˈton]) ni gari la michezo ambayo ilizinduliwa mwaka 2007 kwenye maonyesho ya Frankfurt Motor Show.

Ilikuwa gari ghali zaidi la Lamborghini mpaka Lamborghini Sesto Elemento ilipozinduliwa, bei ikiwa dola milioni mbili (~$1.5 , au ~ £ 840,000).

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.