Lê Công Vinh

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lê Công Vinh (alizaliwa 20 Desemba 1985) ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu wa Vietnam. Aliwahi kucheza timu ya taifa ya Vietnam.

Lê ameichezea timu ya taifa ya Vietnam tangu mwaka wa 2004. Lê alicheza Vietnam katika mechi 83, akifunga mabao 51.[1]

Takwimu[hariri | hariri chanzo]

[1]

Timu ya Taifa ya Vietnam
Mwaka Mechi Magoli
2004 10 7
2005 0 0
2006 3 2
2007 13 7
2008 13 6
2009 3 1
2010 1 1
2011 5 7
2012 7 1
2013 1 0
2014 9 8
2015 5 1
2016 13 10
Jumla 83 51

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 Lê Công Vinh at National-Football-Teams.com
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lê Công Vinh kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.