Kyela Mjini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Kata ya Kyela Mjini
Kata ya Kyela Mjini is located in Tanzania
Kata ya Kyela Mjini
Kata ya Kyela Mjini

Mahali pa Kyela Mjini katika Tanzania

Majiranukta: 9°34′48″S 33°51′00″E / 9.58000°S 33.85000°E / -9.58000; 33.85000
Nchi Tanzania
Mkoa Mbeya
Wilaya Kyela
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 2,507
Mv Songea katika bandari ya Kyela

Kyela ni mji wa Tanzania Kusini-Magharibi uliopo karibu na ncha ya kaskazini ya Ziwa Nyasa. Kata ya Kyela mjini ni makao makuu ya Wilaya ya Kyela katika Mkoa wa Mbeya, Tanzania.

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 2,507 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 47,389 [2] walioishi humo.

Msimbo wa posta ni 53701.

Mazingira ya Kyela ni maarufu Tanzania kwa mchele mzuri unaolimwa hapa. Mji ni kitovu cha mawasiliano kwa sababu barabara kutoka Mbeya-Tukuyu kwenda Malawi inakutana hapa na barabara ndogo zinazoelekea Matema na milima Livingstone.

Bandari ya Kyela iko kilomita kadhaa nje ya mji na hapa ni chanzo cha njia za mawasilano kwa maji kwenye Ziwa Nyassa upande wa Tanzania.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. "Sensa ya 2012, Mbeya - Kyela DC". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2004-01-02. Iliwekwa mnamo 2017-03-12. 
Kata za Wilaya ya KyelaMkoa wa Mbeya - Tanzania

Bondeni | Bujonde | Busale | Ibanda | Ikama | Ikimba | Ikolo | Ipande | Ipinda | Ipyana | Itope | Itunge | Kajunjumele | Katumbasongwe | Kyela | Lusungo | Mababu | Makwale | Matema | Mbugani | Mikoroshoni | Muungano | Mwanganyanga | Mwaya | Ndandalo | Ndobo | Ngana | Ngonga | Njisi | Nkokwa | Nkuyu | Serengeti | Talatala


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mbeya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kyela Mjini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.