Kwiteria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kwiteria alivyochorwa huko Brazil.

Kwiteria (labda Braga, Ureno, karne ya 5 - Aire-sur-l'Adour, Ufaransa, karne ya 5) alikuwa bikira Mkristo ambaye heshima ya watu kwake kama mtakatifu na pengine mfiadini ni ya zamani sana[1].

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 22 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.