Kwirino wa Sisak

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kwirino wa Siszeck)
Sanamu yake huko Halsteren, Netherlands.

Kwirino wa Sisak (alifariki Savaria, Panonia, leo Szombathely nchini Hungaria, 309) alikuwa askofu wa Sisak, leo nchini Korasya, aliyeuawa kwa ajili ya imani yake wakati wa dhuluma ya kaisari Galerius kwa kutoswa mtoni amefungwa jiwe shingoni[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Juni[2]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.