Nenda kwa yaliyomo

Kulikoyela Kahigi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe ya kuzaliwa4 Agosti 1950
Mahali pa kuzaliwaTanganyika
TaifaMtanzania
Chama cha kisiasaCHADEMA
ElimuChuo Kikuu cha Dar es Salaam
Michigan State University (PhD)
WadhifaMbunge wa Bukombe (kuanzia Novemba 2010)
MtanguliziEmmanuel Luhahula

Prof. Kulikoyela Kanalwanda Kahigi (alizaliwa 4 Agosti 1950) ni mwanasiasa wa Tanzania wa CHADEMA na alikuwa Mbunge wa jimbo la Bukombe kati ya mwaka 2010 hadi 2015. Sasa amerejea kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, akifundisha lugha katika Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili.[1]

  1. "Member of Parliament CV". Parliament of Tanzania. 2010. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-11-03. Iliwekwa mnamo 1 Novemba 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kulikoyela Kahigi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.