Nenda kwa yaliyomo

Kosma mfiadini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kosma Mtakatifu)
Watakatifu Kosma na Damiano.

Kosma mfiadini (aliuawa kati ya 287 na 303) alikuwa daktari katika maeneo ya Uturuki kusini wa leo. Pia alikuwa kaka wa Damian Mtakatifu. Pamoja naye walikuwa wanatibu watu bure.

Inasemekana walitokea Uarabuni[1].

Hali ya maisha na kifodini chake haijulikani kwa uhakika.

Sikukuu yake ni tarehe 26 Septemba[2].

Takriban mwaka 530, Papa Felix IV aliwatolea Watakatifu Kosma na Damiano basilika maarufu katika mji wa Roma.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Marejeo ya Kiswahili

[hariri | hariri chanzo]
  • John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 335
  • Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 288

Marejeo ya lugha nyingine

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.