Kongoni
Kongoni | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Kongoni mashariki
(Alcelaphus buselaphus cokii) | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Spishi 3:
|
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kongoni ni wanyamapori wakubwa wa jenasi Alcelaphus katika familia Bovidae. Kwa asili jina hili lilitumika kwa nususpishi A. buselaphus cokii lakini siku hizi spishi na nususpishi zote za Alcelaphus huitwa kongoni. Wanatokea savana za Afrika tu. Rangi yao ni ya mchanga lakini tumbo na matako ni nyeupe. Wana kichwa kirefu na pembe zao zimepindika na zina umbo wa zeze zikionwa kutoka mbele. Wanyama hawa hula manyasi.
Spishi
- Alcelaphus buselaphus, Kongoni Mashariki (Hartebeest)
- Alcelaphus caama, Kongoni Mwekundu (Red Hartebeest)
- Alcelaphus lichtensteinii, Kongoni wa Lichtenstein au Konzi (Lichtenstein's Hartebeest)
Picha
-
Kongoni mwekundu
-
Kongoni wa Lichtenstein
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kongoni kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.