Wingu (mtandao)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kompyuta ya wingu)
Mchoro wa wingu wa utarakilishi.

Katika utarakilishi, Wingu au Wingu wa utarakilishi (kwa Kiingereza: cloud au cloud computing[1] ) ni kituo cha data kinachotumika ili kukusanya data za watumiaji wengi.

Unaitwa "Wingu" kwa sababu data hazitunzwi katika kifaa cha kutunzia binafsi cha watumiaji[2].

Mawingu yanaweza kuwa kwa kiasi kwa shirika moja (mawingu ya biashara[3][4]) au kupatikana kwa mashirika mengi (wingu la umma).

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Ray, Partha Pratim (2018). "An Introduction to Dew Computing: Definition, Concept and Implications". IEEE Access 6: 723–737. ISSN 2169-3536. doi:10.1109/ACCESS.2017.2775042. 
  2. Montazerolghaem, Ahmadreza; Yaghmaee, Mohammad Hossein; Leon-Garcia, Alberto (2020-09). "Green Cloud Multimedia Networking: NFV/SDN Based Energy-Efficient Resource Allocation". IEEE Transactions on Green Communications and Networking 4 (3): 873–889. ISSN 2473-2400. doi:10.1109/TGCN.2020.2982821.  Check date values in: |date= (help)
  3. Wang, Heyong; He, Wu; Wang, Feng-Kwei (2012-12-01). "Enterprise cloud service architectures". Information Technology and Management (kwa Kiingereza) 13 (4): 445–454. ISSN 1573-7667. doi:10.1007/s10799-012-0139-4. 
  4. "What is Cloud Computing". Amazon Web Services, Inc. (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2021-07-02. 

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.