Nenda kwa yaliyomo

Kolos Ferenc Vaszary

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kolos Ferenc Vaszary, O.S.B. (Keszthely, Hungaria, 12 Februari 1832 – Balatonfüred, Hungaria, 3 Septemba 1915) alikuwa kardinali wa Kanisa Katoliki na Askofu Mkuu wa muda mrefu wa kiti cha heshima cha Esztergom katika Dola la Austro-Hungaria.[1]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.