Kofi Ansah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kofi Ansah (6 Julai 1951 [1] - 3 Mei 2014) alikuwa mbunifu wa mitindo wa Ghana. Alizingatiwa kama mwanzilishi katika kukuza mitindo na miundo ya kisasa ya Kiafrika kwenye jukwaa la kimataifa.[2] Aliolewa na Nicola Ansah na ni baba wa waigizaji Joey Ansah, Tanoa Ansah na Ryan Ansah.

Maisha ya awali na elimu[hariri | hariri chanzo]

Ansah alizaliwa mwaka wa 1951 katika familia ya kisanii na alipenda sanaa na ubunifu. Alipewa hamasa na babake, mpiga picha na mwanamuziki wa kitambo.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Kofi Ansah 1951 - Eternity by Nana K. Duah - Issuu". issuu.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-03-20. 
  2. "Ghanaian Designer Kofi Ansah Passes On". OkayAfrica (kwa Kiingereza). 2014-05-06. Iliwekwa mnamo 2022-03-20. 
  3. "Kofi Ansah: Ghana mourns fashion guru", BBC News (kwa en-GB), 2014-05-30, iliwekwa mnamo 2022-03-20