Uwanja wa Ndege wa Dong Hoi

Majiranukta: 17°30′54″N 106°35′26″E / 17.51500°N 106.59056°E / 17.51500; 106.59056
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dong Hoi Airport
Sân bay Đồng Hới
Cảng hàng không Đồng Hới
IATA: VDHICAO: none
Muhtasari
Aina Public
Mmiliki Northern Airports Corporation
Opareta Northern Airports Authority
Mahali Dong Hoi
Anwani ya kijiografia 17°30′54″N 106°35′26″E / 17.51500°N 106.59056°E / 17.51500; 106.59056
Njia ya kutua na kuruka ndege
Mwelekeo Urefu Aina ya
barabara
ft m
11/29 7,874 2,400 Concrete
Kiwanja cha Ndege cha Dong Hoi

Kiwanja cha Ndege cha Dong Hoi ni kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Dong Hoi nchini Vietnam.

Jina kamili kwa Kivietnam ni Sân bay Đồng Hới au kwa Kiingereza Cảng hàng không Đồng Hới.

Inahudumiwa na Vietnam Airlines. Ilianzishwa kama kiwanja cha ndege cha kijeshi wakati wa ukoloni wa Ufaransa. Tangu 2007 ilipanushwa hasa kwa ajili ya mipango ya utalii katika sehemu hii ya Vietnam.

Kiwanja cha ndege kipo kilomita 6 kusini ya Dong Hoi na safari kwa treni kutoka mjini ni dakika 1A. .[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Dong Hoi airport put into use. CPV (2008-5-19).
  2. Dong Hoi airport put into use. Vietnam News (2008-5-19).

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]