Kitseku

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kitseku (au Kitzuku) ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uchina inayozungumzwa na Wayi. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kitseku imehesabiwa kuwa watu 12,600. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kitseku iko katika kundi la Kibodish.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kitseku kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.