Kisokoro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kisokoro ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Chad inayozungumzwa na Wasokoro. Mwaka wa 1994 idadi ya wasemaji wa Kisokoro imehesabiwa kuwa watu 5000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kisokoro iko katika kundi la Kichadiki.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisokoro kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.