Kisiwa cha Koome

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kisiwa cha Kome (Uganda))

Kisiwa cha Koome ni kati ya visiwa vya Uganda kusini (Mkoa wa Kati, Wilaya ya Mukono).

Kinapatikana katika ziwa Nyanza, la pili duniani kwa ukubwa.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]